From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1864 ulikuwa wa 20 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Republican Party" (chini ya jina la "National Union"), Rais Abraham Lincoln (pamoja na kaimu wake Andrew Johnson) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" George McClellan (pamoja na kaimu wake George Pendleton).
Lincoln akapata kura 212, na McClellan 21. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo. Hakuwa na kupiga kura katika majimbo kuminamoja yaliyoasi na Maungano wakati wa vita.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.