Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1828
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1828 ulikuwa wa 11 katika historia ya Marekani. Ukafanywa tarehe 31 Oktoba hadi 2 Desemba. Upande wa "Democratic Party", Andrew Jackson (pamoja na kaimu wake John C. Calhoun) alimshinda Rais John Quincy Adams (pamoja na kaimu wake Richard Rush).
Jackson akapata kura 178 na Adams 83. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.