Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1876
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1876 ulikuwa wa 23 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 7 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rutherford Hayes (pamoja na kaimu wake William Wheeler) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Samuel Tilden (pamoja na kaimu wake Thomas Hendricks).