From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1908 ulikuwa wa 31 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Republican Party", William Howard Taft (pamoja na kaimu wake James Sherman) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" William Jennings Bryan (pamoja na kaimu wake John Kern).
Taft akapata kura 321, na Bryan 162. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.