From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1964 ulikuwa wa 45 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Lyndon B. Johnson (pamoja na kaimu wake Hubert Humphrey) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Barry Goldwater (pamoja na kaimu wake William E. Miller).
Johnson akapata kura 486, na Goldwater 52. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.