Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1976
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1976 ulikuwa wa 48 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 4 Novemba. Upande wa "Democratic Party", mgombea Jimmy Carter (pamoja na kaimu wake Walter Mondale) alimshinda mgombea wa "Republican Party", Rais Gerald Ford (pamoja na kaimu wake Bob Dole).
Carter akapata kura 279, na Ford 240 wakati mchaguzi mmoja kutoka Washington alimpigia kura Ronald Reagan badala ya Ford. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.