From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchongaji ni aina mojawapo ya sanaa ambayo inatengeneza umbo la kupendeza kutokana na vitu rafu, kama vile mawe au mbao.
Sanaa hiyo ni ya zamani sana, lakini inazidi kuona njia mpya.
Uchongaji umekuwa wa msingi kwa tamaduni nyingi. Katika karne zilizopita sanamu kubwa za bei ghali ziliundwa kwa ajili ya watu binafsi, kwa kawaida zilikuwa mahususi kwa maonyesho ya dini au siasa.
Tamaduni hizo, ambazo sanamu zake zimesalia kwa wingi, ni pamoja na tamaduni za kale za Mediterania, India na Uchina, na pia nyingi za Amerika ya Kati na Kusini na Afrika.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.