Muawiya (pia: Umayyad, Omayyad) ni jina la Kiarabu. Linaweza kumaanisha
- mara nyingi Muawiya I (Muawiya ibn Abu Sufyan) aliyekuwa khalifa wa Uislamu kati ya 661 hadi 680
- nasaba ya Wamuawiya lililoanzishwa na Muawiya I na kutawala nchi za Waislamu hadi mwaka 750; baadaye walitawala Hispania pekee hadi mwaka 1031.
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.