Zachary Onyonka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Zachary Onyonka (1938 - 2002) alikuwa mwanasiasa wa Kenya. Alikuwa mbunge, akiwakilisha Eneo bunge la Kitutu Masaba.

Historia

Onyonka alizaliwa mnamo 1938 katika sehemu za Kisii nchini Kenya.

Ubunge

Alichaguliwa mara ya kwanza kama mbunge wa Kitutu West wakati jimbo hili lilipoanzishwa mnamo 1969. Abakia kuwa mbunge wa Jimbo hili la uchaguzi hadi 1988 wakati jimbo hilo liligawanywa na kuzaa jimbo jipya la Kitutu Chache. Onyonka alikuwa mbunge wa jimbo hili jipya hadi kifo chake mnamo 2002.

Uwaziri

Onyonka alihudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje kati ya 1987 - 1988.

Kifo chake

Aliaga dunia mnamo 2002 wakati angali akihudumu kama mbunge wa Kitutu Chache.

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads