Zachary Onyonka
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Zachary Onyonka (1938 - 2002) alikuwa mwanasiasa wa Kenya. Alikuwa mbunge, akiwakilisha Eneo bunge la Kitutu Masaba.
Historia
Onyonka alizaliwa mnamo 1938 katika sehemu za Kisii nchini Kenya.
Ubunge
Alichaguliwa mara ya kwanza kama mbunge wa Kitutu West wakati jimbo hili lilipoanzishwa mnamo 1969. Abakia kuwa mbunge wa Jimbo hili la uchaguzi hadi 1988 wakati jimbo hilo liligawanywa na kuzaa jimbo jipya la Kitutu Chache. Onyonka alikuwa mbunge wa jimbo hili jipya hadi kifo chake mnamo 2002.
Uwaziri
Onyonka alihudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje kati ya 1987 - 1988.
Kifo chake
Aliaga dunia mnamo 2002 wakati angali akihudumu kama mbunge wa Kitutu Chache.
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads