1752

mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Makala hii inahusu mwaka 1752 BK (Baada ya Kristo).

1752 (MDCCLII) ulikuwa mwaka mrefu kuanzia Jumamosi ya kalenda ya Gregori na mwaka mrefu kuanzia Jumatano ya kalenda ya Julian, mwaka wa 1752 wa hesabu baada ya Kristo.

Katika Milki ya Uingereza, ulikuwa mwaka pekee wenye siku 355, kwani Septemba 3-13 ilirukwa wakati nchi ilipohamia kalenda ya Gregori.

Remove ads

Matukio

  • 6 Juni - Moto unateketeza sehemu za mji wa Moscow.
  • 15 Juni - Benjamin Franklin anathibitisha nadharia yake kwamba miale ya radi ni namna ya umeme kwa kupandisha tiara wakati wa mvua ya radi na hivyo kusababisha pigo la radi. Jaribio hilo lilikuwa msingi wa teknolojia ya kikingaradi.

Waliozaliwa

Mwaka 2025 katika kalenda nyingine
Kalenda ya Gregori 2025
MMXXV
Kalenda ya Kiyahudi 5785 – 5786
Ab urbe condita (Roma ya Kale) 2778
Kalenda ya Ethiopia 2017 – 2018
Kalenda ya Kiarmenia 1474
ԹՎ ՌՆՀԴ
Kalenda ya Kiislamu 1447 1448
Kalenda ya Kiajemi 1403 1404
Kalenda za Kihindu
- Vikram Samvat 2080 – 2081
- Shaka Samvat 1947 – 1948
- Kali Yuga 5126 5127
Kalenda ya Kichina 4721 4722
甲辰 – 乙巳
Remove ads

Waliofariki

Ukweli wa haraka
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads