Kitabu cha Kwanza cha Wafalme
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kitabu cha Kwanza cha Wafalme ni sehemu ya Tanakh (Biblia ya Kiebrania na ya Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo. Hugawiwa katika sura 22.
Historia ya kitabu
Zamani kilikuwa kitabu kimoja na Wafalme II lakini katika tafsiri ya Septuaginta kitabu kiligawiwa pande mbili. Wataalamu huamini hii ilitokea kutokana na urefu wa kitabu, si kwa sababu ya yaliyomo au ya mpangilio wake.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Yaliyomo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads