Mambo ya Nyakati I
ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kitabu cha Mambo ya Nyakati cha Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) kimegawanywa sehemu mbili katika Biblia ya Kikristo na kupangwa kati ya vitabu vya historia.
Sehemu ya kwanza inaitwa Kitabu cha kwanza cha Mambo ya Nyakati kikiishia na kifo cha mfalme Daudi.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Remove ads
Muhtasari wa Kitabu cha kwanza cha Mambo ya Nyakati
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads