Mambo ya Nyakati I

ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kitabu cha Mambo ya Nyakati cha Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) kimegawanywa sehemu mbili katika Biblia ya Kikristo na kupangwa kati ya vitabu vya historia.

Sehemu ya kwanza inaitwa Kitabu cha kwanza cha Mambo ya Nyakati kikiishia na kifo cha mfalme Daudi.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Remove ads

Muhtasari wa Kitabu cha kwanza cha Mambo ya Nyakati

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads