Kitabu cha Pili cha Wafalme
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kitabu cha pili cha Wafalme ni sehemu ya Tanakh (Biblia ya Kiebrania na ya Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo. Hugawiwa katika sura 25.
Historia ya kitabu
Zamani kilikuwa kitabu kimoja na Wafalme I lakini katika tafsiri ya Septuaginta kiligawiwa. Wataalamu huamini hii ilitokana na urefu wa kitabu, si kwa sababu za yaliyomo au mpangilio.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Yaliyomo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads