Ada Yonath

Mkemia kutoka islael From Wikipedia, the free encyclopedia

Ada Yonath
Remove ads

Ada Yonath (amezaliwa 22 Juni 1939) ni mwanakemia kutoka nchi ya Israeli. Hasa amechunguza ribosomi. Mwaka wa 2009, pamoja na Venkatraman Ramakrishnan na Thomas Steitz, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ada Yonath kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Thumb
Thumb
Ada Yonath
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads