Adamu wa Fermo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Adamu wa Fermo, O.S.B. (Fermo, Marche, karne ya 12 – Fermo, 1209 au 1213) alikuwa mkaapweke, halafu mmonaki Mbenedikto wa Italia aliyefikia kuwa abati wa monasteri yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads