Adelardus Kilangi

Mwanasheria From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Adelardus Kilangi ni Mwanasheria Mkuu wa Tanzania. Aliingia katika nafasi hiyo mnamo Februari 2018 kwa kuchukua nafasi ya George Masaju[1].

Aliteuliwa tena mwaka 2020 kuendelea kuhudumu baada ya kipindi cha kwanza kumalizika mnamo Oktoba 2020[2] na atakuwamo katika Bunge la 12 la Tanzania.

Profesa Kilangi amefanya kazi za utafiti na kutoa ushauri mbalimbali ndani na nje ya nchi.


Viungo vya Nje

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads