Anatomia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Anatomia
Remove ads

Anatomia (pia anatomi[1], en:anatomy, kutoka Kigiriki ἀνατέμνειν anatemnein - kupasua, kufungua) ni elimu ya miili ya viumbehai kama binadamu, wanyama na mimea. Inachungulia muundo na umbile la mwili na sehemu au viungo vyake.

Thumb
Mondino dei Liuzzi, Anathomia, 1541

Wataalamu wa anatomia hufungua mwili na kuikata kwa sehemu zake kwa kusudi la kuongeza elimu ya muundo wake.

Elimu hii inasaidia kuelewa magonjwa, pamoja na sababu na matokeo yake. Ni pia msingi wa mafundisho ya tiba na elimu ya matibabu.

Remove ads

Marejeo

Loading content...

Tazama pia

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads