Arno Penzias

From Wikipedia, the free encyclopedia

Arno Penzias
Remove ads

Arno Allan Penzias (amezaliwa 26 Aprili 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa nchini Ujerumani. Hasa alichunguza mnururisho wa nyota. Mwaka wa 1978, pamoja na Robert Woodrow Wilson na Pyotr Kapitsa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Thumb
Thumb
Arno Penzias

Tazmama pia

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Arno Penzias kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads