BASIC

From Wikipedia, the free encyclopedia

BASIC
Remove ads

BASIC ni lugha ya programu. Iliundwa na John George Kemeny na ilianzishwa tarehe 1 Mei 1964. Iliundwa ili kuumba programu. Leo tunatumia Mono BASIC. Ilivutwa na FORTRAN.

Ukweli wa haraka Shina la studio, Imeanzishwa ...

Inaitwa BASIC kwa sababu ni kifupi cha "Beginners' All-purpose Symbolic Instruction Code".

Remove ads

Historia

Ilianzishwa 1 Mei 1964 nchini Marekani. Lakini John George Kemeny alianza kufanya kazi kuhusu BASIC mwaka wa 1960.

Falsafa

Namna ya BASIC ni namna ya utaratibu na inaozingatiwa kuhusu kipengee.

Sintaksia

Sintaksia ya BASIC ni rahisi sana, kinyume cha lugha za programu nyingine kama C++, COBOL au C sharp. Ilivutwa na sintaksia ya FORTRAN, lugha ya programu nyingine.

Mifano ya BASIC

Programu kwa kuchapa « Jambo ulimwengu !».

10 PRINT "Jambo ulimwengu !"
20 END

Programu kwa kupata factoria ya namba moja.

INPUT "INGIA NAMBA MOJA:", N
F = 1
FOR I = 1 TO N
    F = F * I
NEXT I
PRINT "FACTORIA NI", F
END

Tanbihi

Marejeo

  • Sammet, Jean E. (1969). Programming languages: history and fundamentals. Englewood Cliffs, N.J.: Prentice-Hall. OCLC 819683527.
  • Lien, David A. (1986). The Basic Handbook: Encyclopedia of the BASIC Computer Language (3rd ed.). Compusoft Publishing. ISBN 9780932760333. OCLC 12548310.
  • Kemeny, John G.; Kurtz, Thomas E. (1985). Back To BASIC: The History, Corruption, and Future of the Language. Addison-Wesley. p. 141. ISBN 9780201134339. OCLC 11399298.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads