Basbasi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Basbasi
Remove ads

Basbasi (pia: basibasi) ni ngozi ngumu iliyomo katika tunda dogo la aina ya kungumanga.

Thumb
Tunda la mkungumanga na jozi lake, katikati ni kungumanga yenyewe.

Pia ni kiungo cha chakula au kitoweo chenye ladha ya kuwashawasha.

Ni kati ya mazao maarufu ya Zanzibar.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads