Basbasi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Basbasi (pia: basibasi) ni ngozi ngumu iliyomo katika tunda dogo la aina ya kungumanga.

Pia ni kiungo cha chakula au kitoweo chenye ladha ya kuwashawasha.
Ni kati ya mazao maarufu ya Zanzibar.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
