Bassey Akpan

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bassey Akpan
Remove ads

Bassey Abobo Akpan (amezaliwa 6 Januari 1984 jijini Eket, Jimbo la Akwa Ibom) ni mchezaji wa soka wa Nigeria ambae anacheza kama golikipa klabu ya ligi kuu ya Nigeria (NPFL), Kano Pillars.[1]

Thumb
Bassey Abobo Akpan

Heshima

Kimataifa

Nigeria U-17

  • Mshindi wa Kombe la Dunia la FIFA la U-17: 2001
  • Mshindi wa CAF U-17 Championship: 2001

Nigeria

  • Mshindi wa Kombe la Mataifa ya WAFU: 2010


Taifa

Bayelsa United

  • Mshindi wa Ligi Kuu ya Soka ya Kulipwa ya Nigeria: 2008-09[2]
  • Nafasi ya tatu: 2007-08[3]

Heartland FC

  • Mshindi wa Kombe la FA la Nigeria: 2011[4]

Akwa United

  • Mshindi wa Kombe la Super Cup ya Nigeria: 2016
  • Mshindi wa Super Four ya Nigeria: 2016

Kimataifa

Heartland FC

  • Mshindi wa pili wa Ligi ya Mabingwa wa CAF: 2009

Bayelsa United

  • Nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF: 2009

Hoang Anh Gia Lai FC

  • Nafasi ya tatu ya V.League 1: 2013

Binafsi

  • Mshindi wa Globu ya Dhahabu ya Kombe la Dunia la FIFA la U-17 wa mwaka 2001 FIFA U-17 World Championship
  • Mshindi wa Globu ya Dhahabu ya Kombe la Mataifa ya WAFU wa mwaka 2010 WAFU Nations Cup
  • Bingwa Mlinda lango Bora wa V-League 2012
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads