Bernard Agré

Kadinali wa Ivory Coast From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Bernard Agré (2 Machi 19269 Juni 2014) alikuwa Askofu Mkuu wa Abidjan, Côte d'Ivoire, na kardinali wa Kanisa Katoliki.[1]

Wasifu

Alizaliwa Monga, Côte d'Ivoire[2]. Alisoma katika Seminari ya Bingerville ambako alisomea falsafa, kisha akaendelea katika Seminari Kuu ya Quidah, Dahomey (sasa Benin), ambako alisomea theolojia. Hatimaye, kati ya mwaka 1957 hadi 1960, alisoma katika Chuo Kikuu cha Kipapa cha Urbaniana huko Roma, ambako alipata shahada ya uzamivu (PhD) katika theolojia kwa heshima ya juu zaidi, summa cum laude.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads