Brendan

From Wikipedia, the free encyclopedia

Brendan
Remove ads

Brendan (takriban 484 au 486 – takriban 578) alikuwa mtawa na padri kutoka nchi ya Ireland.

Thumb
Brendan akisafiri hadi Iceland na Visiwa vya Faroe - picha kwenye stempu za Faroe.

Baada ya kulelewa na Ita wa Cluain, alifanya bidii kuanzisha monasteri mbalimbali, hasa ile ya Clonfert mwaka 561.

Aliitwa Baharia kwa vile alisemekana kutembelea visiwa vingi katika Atlantiki ya Kaskazini[1].

Anahesabiwa kati ya Mitume kumi na wawili wa Ireland.

Alitambuliwa kuwa mtakatifu punde baada ya kifo chake.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Mei[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads