British Kolumbia

From Wikipedia, the free encyclopedia

British Kolumbia
Remove ads

British Kolumbia (kwa kifupi huitwa B.K.) ni jimbo la Kanada upande wa Bahari Pasifiki lililopo kati ya Marekani bara na Alaska.

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Thumb
Ziwa Shuswap, British Kolumbia

Ni mmoja kati ya majimbo makubwa ya Kanada yenye kilomita za mraba zipatazo 944,735.

Kunako mwaka wa 2001, idadi ya wakazi ilikuwa 3,907,738. Kunako mwaka wa 2005, iliaminika ya kwamba idadi ya watu imefikia 4,220,000.

Mji mkuu wa British Kolumbia ni Victoria. Mji mkubwa katika British Kolombia ni Vancouver ambao una wakazi wapatao milioni 2 ndani yake. Miji mingine mikubwa imejumlishwa na Kelowna, Abbotsford, Kamloops, Nanaimo, na Prince George.

Remove ads

Miji Mikubwa

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu British Kolumbia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads