Bustani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bustani
Remove ads

Bustani ni eneo lililotengenezwa nje ya nyumba au jengo lingine kwa kupanda miti, majani na maua ili kulipendezesha na kulifurahia wakati wa kupumzika.

Thumb
Bustani ya Stourhead inapendeza hata bila maua.

Pengine bustani linapandwa pia mimea kwa ajili ya mboga au matunda.

Tena kuna bustani ya wanyama ambao wanatunzwa ili watu waweze kuwaona kwa urahisi.

Bustani zilianzishwa zamani za kale.

Picha

Thumb
Bustani ya Taj Mahal, India
Thumb
Bustani za Reggia di Caserta, Italia
Thumb
Bustani ya Chehel Sotoun, Isfahan, Iran
Thumb
Bustani ya kanisa kuu la Monreale, Sicilia, Italia
Thumb
Bustani za Butchart, Victoria, British Columbia
Thumb
Bustani za Versailles (Ufaransa)
Thumb
Bustani za Umaid Bhawan Palace, Jodhpur, India
Thumb
Bustani ya Villa d'Este, Italia
Thumb
Bustani za Colonial Williamsburg, Williamsburg, Virginia
Thumb
Bustani ya Shitennō-ji, Osaka, Japan
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bustani kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Ukweli wa haraka
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads