Castries

From Wikipedia, the free encyclopedia

Castries
Remove ads

Castries ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Saint Lucia katika Bahari ya Karibi.

Ukweli wa haraka Habari za kimsingi, Mahali ...

Mji uliundwa na Wafaransa mnamo 1650 na jina limetokana na tarafa ya Castries huko Ufaransa.

Lugha zinazogumzwa mjini ni hasa aina ya Kifaransa pamoja na Kiingereza ambacho ni lugha rasmi.

Mji unatembelewa na meli za kitalii.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Castries kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads