Chandarua

From Wikipedia, the free encyclopedia

Chandarua
Remove ads

Chandarua (kutoka neno la Kihindi) ni kitambaa cha wavu kinachotundikwa hasa kitandani ili kumkinga mtu asiumwe na mbu anapolala.

Thumb
Chandarua kilichoangikwa paani.
Thumb
Chandarua chenye fremu yake.
Thumb
Hema lililotengenezwa kwa chandarua.
Thumb
Chandarua dirishani.

Pia kinaweza kutundikwa katika madirisha na milango ili wadudu wasiingie ndani.

Kwa mbinu hizo binadamu anajaribu kujihami na maradhi yanayosambazwa na mbu na wadudu wengine, kama vile malaria n.k.

Siku hizi wengine wanakitia chandarua dawa ya maji ambayo inaweza kuua wadudu wanapokigusa.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads