Chanzo

ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Chanzo ni asili ya kitu kinapoanzia au mwanzo wa kitu kinapoanzia, kwa mfano chanzo cha mto.

Pia chanzo huweza kufahamika kama ulipozaliwa, sababu ya kitu kujitokeza, huweza kuwa ni mzizi au taarifa, funda mwandishi au chanzo cha mwanga.

Makala hii kuhusu "Chanzo" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads