Chetezo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chetezo (kwa Kiingereza thurible) ni kifaa kinachotumika kufukizia matakatifu kwa kupakaza moshi wa ubani hasa wakati wa ibada.



Desturi hiyo ya Israeli imeenea katika Ukristo na madhehebu yake mengi, ingawa si yote[1].
Nje ya dini, chetezo kinatumika pengine katika ushirikina na mikutano ya Wamasoni n.k.[2][3]
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads