Mgongo wa bahari wa Chile

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mgongo wa bahari wa Chile
Remove ads

Mgongo wa bahari wa Chile (kwa Kiingereza: Chile Ridge) ni mgongo wa baharini yaani safu ya milima kwenye sakafu ya bahari. Unafuata mpaka baina ya mabamba mawili ya gandunia: bamba la Nazca na bamba la Antaktiki.

Thumb

Mgongo wa bahari wa Chile unazama chini ya bara la Amerika Kusini kwenye mfereji wa Peru-Chile unaoitwa pia mfereji wa Atamaca. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads