Chimborazo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Chimborazo
Remove ads

Chimborazo ni mlima wa Andes katika nchi ya Ekwador (Amerika Kusini).

Thumb
kilele cha Chimborazo

Urefu wake ni mita 6,267 juu ya usawa wa bahari.

Kutokana na ujirani na ikweta, ndio mlima ambao kilele chake kinafikia mbali zaidi na kiini cha dunia.

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads