Sentimita
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sentimita (pia: sentimeta; kifupi: cm) ni kipimo cha urefu. Ni sawa na sehemu ya mia moja au asilimia moja ya urefu wa mita ambayo ni kipimo cha kimataifa cha SI.
"cm" inaelekezwa hapa. Kwa matumizi mengine, tazama CM.

Kipimo cha kulingana kwa eneo ni sentimita ya mraba (cm²).
Sentimita si kiwango rasmi katika utaratibu wa SI, lakini inafaa sana katika matumizi ya kila siku. Sentimita moja huwa ni upana wa kucha ya kidole cha mtu mzima.
Ulinganisho na vipimo vingine
Sentimita moja ni sawa na:
Tazama
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.