Cristallo (mlima)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Cristallo (mlima) ni mlima wa Alpi katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini).

Urefu wake ni mita 3,221 juu ya usawa wa bahari, hivyo ni wa tano kati ya milima yote ya Dolomiti.
Tazama pia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads