Cristallo (mlima)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Cristallo (mlima)
Remove ads

Cristallo (mlima) ni mlima wa Alpi katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini).

Thumb
Mlima Cristallo, upande wa Kusini

Urefu wake ni mita 3,221 juu ya usawa wa bahari, hivyo ni wa tano kati ya milima yote ya Dolomiti.

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads