Demi Lovato

From Wikipedia, the free encyclopedia

Demi Lovato
Remove ads

Demetria Devonne "Demi" Lovato (alizaliwa 20 Agosti 1992) ni mwigizaji wa filamu na mwimbaji wa kike wa nchini Marekani. Alianza kuigiza filamu akiwa na umri wa miaka kumi tu. Baadaye akaanza kuimba pia katika bendi, na kutoa albamu kama Don't Forget, Here we go Again na Unbroken.

Ukweli wa haraka Demi Lovato ...
Remove ads

Filamu Alizoigiza

Maelezo zaidi Mwaka, Filamu ...


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Demi Lovato kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads