Dhana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Dhana (kutoka neno la Kiarabu) ni wazo lisilo bayana wala la hakika lakini mtu au jamii wanaweza kuwa nalo na kulipendekeza kwa wengine ili lizidi kuchunguzwa upande wa falsafa, sayansi n.k. kwa kutumia hoja, vipimo na njia nyingine za kufikia ukweli.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads