Diego Velázquez

From Wikipedia, the free encyclopedia

Diego Velázquez
Remove ads

Diego Velázquez (Juni 1599 - 6 Agosti 1660) alikuwa mchoraji mashuhuri wa Hispania wakati wa karne ya 17.

Thumb
Velasquez alivyojichora mwenyewe mnamo 1630

Alikuwa mchoraji aliyependwa na mfalme Filipo IV wa Hispania akachora watu wengi wa familia ya mfalme na waungwana waliokaa kwenye jumba la kifalme. Mweyewe alioa akazaa mabinti wawili.

Alisafiri pia hadi Italia alikopokea athira mbalimbali kwa kazi yake.

Remove ads

Mifano ya taswira zake

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diego Velázquez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads