Doroth Kipeja

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Doroth Kipeja ni mtengeneza video za Bongo Flava na Filamu nchini Tanzania. Kampuni aliyoko inaitwa 'Tripod Media.' Moja ya filamu ambazo amewahi kutengeneza ni ile ya Fake Pastors ambayo imempatia umaarufu.

Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Doroth Kipeja kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads