Elbe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Elbe
Remove ads

Elbe ni mto mkubwa nchini Ujerumani na Ucheki.

Ukweli wa haraka
Thumb
Kuanzia Hamburg hadi bahari ya Kaskazini mdomo wa Elbe huwa pana sana
Thumb
Beseni ya mto Elbe

Inaanza kwa jina la Kicheki "labe" katika milima ya Krkonoše (Kijer.: Riesengebirge) karibu na mpaka wa kaskazini ya Ucheki.

Inapita sehemu kubwa ya Ujerumani wa Mashariki na Kaskazini na kuishia katika Bahari ya Kaskazini. Kuanzia mji wa Hamburg mwendo wa mto hupanuka sana maana maji ya bahari kupwa na kupwaa hucheza huingia hadi hapa.

Elbe ni njia muhimu ya meli za mtoni. Meli kubwa za bahari zinafika hadi bandari ya Hamburg kwa kutumia mdomo mpana wa Elbe.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Elbe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads