Emden

From Wikipedia, the free encyclopedia

Emden
Remove ads

Emden ni mji na pia bandari iliyoko kaskazini-magharibi mwa nchi ya Ujerumani, katika mto Ems. Ni mji mkuu wa mkoa wa Frisia ya Mashariki. Hadi mwaka 2006, mji ulikuwa na wakazi wapatao 51,692.

Thumb
Mji wa Emdeni jinsi unavyoonekana kwa upande wa kushoto (juu).
Thumb
Majenereta la upepo'"Rysumer Nacken, Emden

Watu wengi wanajua Emden sababu ni bandari ya kuendesha Kisiwa Borkum.

Tazama pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Emden kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads