Ernest Rutherford

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ernest Rutherford
Remove ads

Ernest Rutherford (30 Agosti 187119 Oktoba 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Utafiti wake hasa uliweka msingi kwa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Thumb
Thumb
Ernest Rutherford wakati wa kupokea Tuzo ya Nobel
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ernest Rutherford kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads