Global Voices Online
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Global Voices ni mradi ulio chini ya Kituo cha Intaneti na Jamii cha Berkman (The Berkman Center for Internet and Society) kilicho chini ya Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Harvard.

Mradi huo una blogu ambayo kazi yake ni kuandika muhtasari wa masuala yanayoandikwa na kuzungumziwa katika blogu mbalimbali duniani.
Waanzilishi wa mradi huo ni Ethan Zuckerman na Rebecca Mackinonn.
Remove ads
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads