Jimbo la Gombe

jimbo nchini Nigeria From Wikipedia, the free encyclopedia

Jimbo la Gombemap
Remove ads

Jimbo la Gombe liko kaskazini mwa Nigeria, ni mojawapo ya majimbo 36 ya nchi hii; mji mkuu wake ni Gombe.

Maelezo zaidi Mahali lililoko, Takwimu ...
Thumb
Mahali pa Gombe katika Nigeria

Jimbo la Gombe, ambalo jina lake la utani ni 'Mkufu katika Savannah', liliundwa Oktoba 1996 kutoka katika sehemu ya kale ya Jimbo la Bauchi na serikali ya kijeshi ya Abacha. Jimbo hili lina ukubwa wa eneo la 20,265 km ² na jumla ya idadi ya watu karibu 2,353,000 kulingana na 2006. [2] Kati ya idadi yote ya watu, takriban 7.8% ni wameambukizwa HIV[3]

Remove ads

Maeneo ya utawala

Gombe imegawanywa katika Maeneo ya Serikali za Mitaa takribani kumi na moja. Nayo ni:

  • Akko
  • Balanga
  • Billiri
  • Dukku
  • Funakaye
  • Gombe
  • Kaltungo
  • Kwami
  • Nafada
  • Shongom
  • Yamaltu/Deba

Takwimu za watu

Wakaazi wa Jimbo la Gombe ni haswa watu wa kabila la Fulani.

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads