Nyimbo za Kiinjili
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nyimbo za Kiinjili (kwa Kiingereza Gospel music au Gospel songs) ni aina ya muziki wa Kikristo ambayo inatofautiana kadiri ya utamaduni na jamii zinapopatikana.
Lengo la nyimbo hizo linaweza kuwa uzuri zaidi, uenezi wa dini au hata ibada, lakini pia burudani na biashara.
Kwa kawaida zinategemea hasa sauti za waimbaji kuliko ala za muziki.
Asili ya mtindo huo ni mwanzo wa karne ya 17[1] katika jamii zenye asili ya Afrika.[2]
Kati ya watunzi wa awali kuna George Frederick Root, Philip Bliss, Charles H. Gabriel, William Howard Doane na Fanny Crosby.
Uenezi wa redio katika miaka ya 1920 ilichangia sana nyimbo hizo kujulikana na kupendwa sehemu nyingi za dunia.
Remove ads
Angalia
- Minister Shiku Alice
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads