Grammy Awards

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Grammy Awards au Tuzo za Grammy (awali iliitwa Gramophone Awards)—au Grammys—hutolewa kila mwaka na National Academy of Recording Arts and Sciences ya nchini Marekani kwa ajili ya kazi zilizopata mafanikio makubwa katika soko la muziki. Sherehe hizi za ugawaji wa tuzo hushirikisha wasanii mashuhuri na wale machipukizi, na baadhi ya tuzo zao huwa maarufu na huonyeshwa katika matelevisheni mengi nchi nzima.

Ukweli wa haraka Tovuti rasmi ...
Remove ads

Makundi

Makundi makuu ya au jamii kuu za aina ya muziki ni nne.

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Lists


Kigezo:Soko la muziki

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads