Mnyuzi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mnyuzi ni kata ya Wilaya ya Korogwe Vijijini katika Mkoa wa Tanga, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 5,822 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 19,174 waishio humo.

Msimbo wa posta ni 21609.

Mnyuzi ina vijiji vifuatayo: Shamba Kapori, Mkwakwani, Kwamzindawa, Mnyuzi na Lusanga.

Kata inapitiwa na mto Pangani.

Huko Hale kuna Maporomoko ya maji ya Pangani yanayotumiwa kwa kituo cha umememaji, sawa na kituo kikubwa kilomita 8 chini zaidi[2].

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads