Hanover, Massachusetts

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hanover, Massachusetts
Remove ads

Hanover ni mji wa Marekani katika jimbo la Massachusetts. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 13,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 18 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 41 km².

Thumb
Ukumbi wa Hanover
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Mahali pa Hanover katika Plymouth County na Massachusetts

Jina la Hanover lilichaguliwa wakati wa kuanzisha mji huu mwaka 1727 kwa heshima ya mfalme George I wa Uingereza aliyetoka katika familia ya watemi wa Hannover katika Ujerumani; Hannover ilikuwa mji mkuu wa utemi mwenye jina lake.

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Massachusetts bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hanover, Massachusetts kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads