Mkoa wa Hatay

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Hatay
Remove ads

Hatay ni mkoa uliopo kusini mwa nchi ya Uturuki, katika pwani ya Mediteranea. Kwa upande wa kusini na mashariki mwa mkoa huu, unapakana na Syria. Mkoa unawakazi wapatao 1,386,224. Wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 5,403.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Hatay nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya zake

Mkoa wa Hatay umegawanyika katika wilaya 12 (wilaya kubwa zimewekewa kukooza):

Historia

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads