Herbert Agar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Herbert Sebastian Agar (29 Septemba 1897 24 Novemba 1980) alikuwa mwanahistoria na mwandishi wa habari kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1934, alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Historia kwa kitabu chake The People's Choice.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads