Hiroshi Amano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hiroshi Amano
Remove ads

Hiroshi Amano (amezaliwa 11 Septemba, 1960) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Japani. Hasa amechunguza dutu za nusu kipitishi na kubuni diodi ya kutoa nuru. Mwaka wa 2014, pamoja na Isamu Akasaki na Shuji Nakamura, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hiroshi Amano kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...
Thumb
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads