Hori
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Hori ni sehemu ya mwambao wa bahari au ziwa inayozungukwa na nchi kavu pande tatu. Ni kidogo kuliko ghuba, mara nyingi husababishwa na mdomo mto kwenye bahari na kuelekea ndani ya bara.

Hori mara nyingi ni mahali pazuri kwa ajili ya bandari asilia kwa sababu imelindwa kisi na nguvu ya mawimbi.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads